NYUMBA JUU YA JABALI
MAAJABU YA NYUMBA HIZI JUU YA MAWE
Mwanza ni moja kati ya majiji matano Tanzania,ambapo limekuwa ni jiji la kustaajabisha na kuvutia kwa watu wengi kutokana na muonekano wake wa kuzungukwa na mengi na makubwa kiasi kwamba si ajabu kuona nyumba imejengwa juu ya mawe hayo
NYUMBA IKIWA IMEJENGWA JUU NA KATIKATI YA MAWE
Maswali ya watu wengi hujiuliza kwamba ni gharama kiasi gani kupandisha mawe hayo juu ya mlima ikiwa kuna umbali mrefu pamoja na namna ugumu wake ulivyo kwenye suala zima la uchimbaji wa shimo la choo.
HAKIKA NI MAAJABU YA KUVUTIA KATIKA JIJI HILI
Kweli ukistaajabu ya Musa basi utaona ya filauni na pia ule msemo usemao tembea uyaone hakika utaweza kujionea mengi kama ilivyo kwa wakati huu kwa nyumba nyingi ukizunguka hapa Mwanza zipo juu ya milima ya mawe.

No comments: