JONAS ELISHA ELIA DJM/2024/4585
Steer musembe mwanaume aliyeamua kuwekeza maisha yake kwenye muziki akiamini kuwa anaweza kujikimu,kupata mahitaji yake muhimu pamoja na kuitunza Familia yake pia kazi hii imemfanya kupata kipato kikubwa pamoja na kumuwezesha kufungua studio yake mwenyewe. Steer ni muongozaji wa muziki (Music director) pia ana uwezo wa kupiga vyombo vote vya muziki kama ngoma(drums),kinanda(piano),tarumbeta(saxophone) pamoja na gitaa(guitar)
Steer musembe akipuliza tarumbeta
Pia muziki umemuongezea kuaminiwa na kuitwa kufanya kazi ya kuwaongoza wanamuziki kwenye Mata Matamasha mbalimbali ya dini maeneo mengi nchini Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania kwenye kama Kenya na Congo drc pia kumfanya kufahamiana na wanamuziki wengi pamoja na waimbaji wengi wakubwa. Pia steer musembe anafundisha kupiga vyombo vya muziki pamoja na kuimba pia kwa Rika zote.Steer musembe akipiga kinanda katika moja ya Matamasha aliyoyafanya kama muongozaji wa muziki
Steer musembe akiwa katika moja ya matamasha aliyoitwa kupiga muziki

No comments: