DJM

SAYUNI SWAI DJM /2024/0485

Kijana Meshack  Emanuel  kulia mwenye umri wa miaka 24 anayejishughulisha na shughuli ya ususi katika mtaa wa Silvin 

Kijana Meshack Emanuel anayejishughulisha na shughuli za  ususi mkoani Mwanza  akitueleza wakati akizungumza na mtandao huu, kuhusu historia ya maisha yake  mpaka kufikia kufanya kazi ya ususi ambayo ameifanya takribani  miaka kumi.

Meshack anaeleza kuwa kazi yake hii imemsaidia aweze kuendesha maisha yake na jina kubwa katika mtaa wa silvin kwani ndiye mwanaume  pekee anayejishughulisha  na ususi mtaani huko.

Picha ikionesha Meshack Emanuel  akiwahudumia wateja wake

Kijana Meshack Emanuel  amesema kuwa sh Kuna baadhi ya wanaume  wanaogopa kujishughulisha na shughuli ya ususi wakizani kazi hii ni ya wanawake hivyo anawashauri wanaume wasichague kazi ili waweze kuendesha  maisha  yao ya  kila siku

SAYUNI SWAI DJM /2024/0485 SAYUNI SWAI  DJM /2024/0485 Reviewed by Hshshshshshssh on December 05, 2024 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.