DJM

Sayuni swai djm/2024/0485

picha ikionyesha makazi  ya watu yaliyojengwa juu ya mawe  mkoani Mwanza mtaa wa mkolani


Baadhi  ya  wananchi  wa mtaa wa mkolani jijini Mwanza  wanaishi Pembezoni  ya mawe .pia mawe haya yanatumika kama sehemu ya utali kwa wageni mbalimbali  kwa tunavyofahamu Mwanza ni mkoa unaosifika sana kuwa na miamba mikubwa .hivyo basi tutunze mazingira yetu ni pamoja na miamba ili tuweze kujipatia fedha za kigeni.

Picha ikionyesha  Baadhi  ya mazingira  yaliyozungukwa

Na mawe mkoani mwanza mtaa wa malimbe

Kama tunavyojua asilimia kubwa ya watu waishio Tanzania  wakiamini 

Kuwa mkoa.wa Mwanza  ndio unaongoza kwa kuwa na miamba .vilevile miamba hiyo

inaweza ikasababisha vifo vya watu wakati wa mvua kubwa.aidha miamba hiyo katika mkoa wa mwanza yale mawe yanatumika kwa ajili ya ujenzi

Picha ikionyesha makazi ya watu waliojenga Pembezoni 

mwa miamba mkoani mwanza mtaa wa nyahingi. Kuna baadhi ya wananchi wanajenga karibu na miamba kwani. Ni hatari wakati mvua kubwa zikinyesha au mabadiliko ya hali ya hewa 

Serikali  itoe elimu kwa wale wote wanaojenga karibu na miamba mikubwa kwa kuhatarisha maisha yao .pia serikali itoe maeneo maalumu ili wananchi waepuke kuishi sehemu hatari.

picha ikionyesha  maeneo  tofauti totaoufi katika mkoa wa Mwanza ikionyesha  maeneo  yaliyozungukwa  na miamba

Mkoa wa Mwanza  ni mko wa kihistori wenye miamba mikubwa  Tanzania ambapo asilimia  kubwa  ya watu  waishio katika mkoa huo wanajenga  juu ya miamba mikubwa  .vilevile  miamba  hiyo  inasaidia mmomonyoko wa udongo na kutunza mazingira hivo basi  serikali  itoe  elimu  jinsi ya kutunza maeneo hayo  ya miamba picha ikionyesha  maeneo  tofauti totaoufi yenye miamba pamoja  na  makazi ya watuu

Mkoa wa Mwanza ( yaani rock city)jiji la miamba imekuwa  ni kivutio kwa wageni wanaotoka sehemu mbalimbali  kwa sababu ya ni mji ulizungukwa na miamba watu wanaoishi mkoani humu wanajivunia kuwa  na jiji la miamba 

Picha ikionyesha maeneo tofauti  yaliyozungukwa na miamba  katika mkoa wa Mwanza 
Katika mkoa wa Mwanza  ni mji uliozungukwa na miamba .vilevile  mji huu ni mji wenye historia ya kuwa na miamba  mikubwa  Tanzania  ambayo miamba  hiyo inatupatia madini mbalimbali  .hivyo basi tutunze  miamba yetu ili tuweze  kujipatia  fedha  kwa kuuza madini .
Sayuni swai djm/2024/0485 Sayuni swai djm/2024/0485 Reviewed by Hshshshshshssh on December 16, 2024 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.