UKALABATI WA VYOO KATIKA CHUO CHA SAUT
Uongozi wa chuo kikuu Cha mtakatifu agustino SAUT Mwanza wameanza miundombinu mbalimbali ya chuo ikiwemo ukalabati wavyoo mbalimbali katika chuo hicho .
Ongezeko la wanafunzi chuoni hapo kumepelekea miombinu kutokidhi hivyo uongozi wachuo kuanza mchakato wa ukalabati wa vyoo.
Vyoo vikianza kufanyiwa ukarabati ili kutumika Tena kwaajali ya muda mrefu.
Katika hatua nyingine chuo Cha mtakatifu Agustino umeamua kufanya malekebisho hayo baada ya vyoo hivyo kuhalibika vibaya pamoja nahalifu mbaya
Vyoo kwa Sasa havitumiki kwasababu ya ukarabati unaoendelea kufanya.
JAMES JASTINE DJM/2024/4650
Reviewed by Pappy girl
on
December 05, 2024
Rating:
Reviewed by Pappy girl
on
December 05, 2024
Rating:



No comments: